Huyu dada amejitokeza katika ofisi ya Mkuu wa mkoa Mh.Paul Makonda, akidai yeye ni mtoto wa Waziri mkuu wa zamani Mh.Edward Lowassa lakini alitelekezwa akiwa mdogo na Mh.Lowassa!!!
Binti huyu ni mmoja kati ya wanawake waliofika katika ofsi za mkuu wa mkoa ili asaidiwe.
No comments:
Post a Comment