Hatimaye Mbunge wa Tarime Vijijini Mhe @HecheJohn amefikishwa Mahakamani na kuunganishwa kwenye kesi namba 112/2018 inayowakabili Viongozi wengine wa Chama, wakiwemo wakuu na wabunge, ameachiwa kwa dhamana kwa masharti waliyopewa watuhumiwa wengine kwenye kesi hiyo Aprili 3/2018.
Kesi yao ita endelea tarehe za mahakama zitakapofika.
No comments:
Post a Comment