Breaking: MWANDISHI WA "THE GUDIAN" ATEKWA, AOKOTWA AKIWA KATIKA HALI HII. - MR. KUYUMBO BLOG

Breaking

Monday, April 9, 2018

Breaking: MWANDISHI WA "THE GUDIAN" ATEKWA, AOKOTWA AKIWA KATIKA HALI HII.



DAR: Mwandishi wa gazeti la "The gudian", Finning F.Simbeye ameokotwa na wakazi wa Bunju akiwa hajitambui huku akionekana kuwa amepigwa sana sehemu mbalimbali za mwili.

Mpaka sasa watu walio fanya tukio hilo hawajajulikana na selikali haijatoa tamko lolote.

No comments:

Post a Comment